Wednesday, July 13, 2016

Mcheza Mpira wa Basketi Mtanzania Aishie Marekani Afariki Dunia Baada ya Kutumbukia Mtoni

Samson Charles Bidan (R.I.P)
 
TANZIA: Mtanzania, Samson Charles Bidan (20), aliyekuwa akiishi huko katika jiji la North Plate nchini Marekani, amefariki dunia baada ya kutumbukia mtoni

Alikuwa mchezaji wa mpira wa kikapu akijiandaa na mashindano ya michezo vyuoni (NCAA)
 
$MACHAS OFFICIAL SITE

No comments:

Post a Comment