Usiku wa Ijumaa hii Diamond alifanya show kubwa ambayo ilihudhuriwa na umati mkubwa wa watu waliojitokeza kutoka sehemu mbalimbali katika mji wa Muscat nchini Oman. Hizi ni baadhi ya picha za show hiyo.
"BIG UP KWA DIAMOND KWA KUIWAKILISHA VIZURI TANZANIA"
No comments:
Post a Comment