Monday, June 20, 2016

VIDEO: Highlights na Goli la Mechi ya MO Bejaia vs Yanga June 20, Full Time 1-0



 
Usiku wa June 20 2016 Dar es Salaam Young Africans walikuwa Algeria kucheza mchezo wao wa kwanza wa Kundi A wa hatua ya nane bora dhidi ya wenyeji wao MO Bejaia, katika mchezo huo Yanga walifungwa na MO Bejaia kwa goli 1-0, goli ambalo lilifungwa na Armando Sadiku dakika ya 20.

Video:
 
 
 
#MACHAS OFFICIAL SITE
 
 

No comments:

Post a Comment