Friday, July 7, 2017

BONGO FLASH: NUH MZIWANDA AFANYIWA UPASUAJI WA SHINGO>>>>>

Hit maker wa Jike Shupa,Anameremeta n.k Nuh Mziwanda amewashukuru wahudumu wa hospitali ya Mwananyala kwa kunifanyia upasuaji salama.
Muimbaji huyo amedai amefanyiwa upasuaji wa shingo baada ya kupata maumivu makali sana shingoni.
“Thanks Jesus ’thanks MY SUPER DR KIWALE BINGWA kabisa wa upasuaji ‘Na MWANANYAMALA HOSPITAL kwa surgery (Upasuaji)uliokua chini ya shingo yangu’ bila kusahau MAMA yangu,mke wangu na ndugu zangu waliokua pamoja na mimi.naomba Maombi yenu Mashabiki wangu nirudi katika hali yangu na Kazi ziendelee.I Love you,” aliandika Nuh Instagram.
Hata hivyo haijajulikana mara moja alikuwa anasumbuliwa na nini.

No comments:

Post a Comment