Thursday, June 15, 2017

HIZI NI PICHA ZA MASHAMBA YA MHESHIMIWA MBOWE,YALIYOHARIBIWA NA SERIKALI WILAYA YA HAI MKOANI KILIMANJARO>>>>>

 UHARIBIFU ULIOFANYWA NI PAMOJA NA,KUKATWA MABOMBA,KUCHANWACHANWA GREEN HOUSES N.K




HAYA NI MANENO ALIYOTOA MBOWE,KUFUATIA KUHARIBIWA MALI ZAKE>>>>
“Hakuna wingi wa mali ambao wataharibu utakaonifanya Mbowe nikapige magoti kama wengine wanavyopiga magoti, sitapiga magoti, nitasimama katika kweli na haki wakati wote wa maisha yangu, kwa hiyo hili halinishangazi kwa sababu najua gharama ya ninachokilipa, wako watu wengi wamenipigia simu wakijaribu kunipa pole kunitia moyo, wengine wamejaribu kunitia hofu, wakiniambia Mwenyekiti Mbowe pengine uachane na siasa, nimewaambia sitoachana na siasa, nitafanya siasa, ilimradi ni siasa safi zenye kusimamia ukweli na haki nitasimama nazo.“
 MHESHIMIWA FREEMAN HAIKAELI MBOWE
MWENYEKITI WA CHADEMA-TAIFA,MBUNGE JIMBO LA HAI KILIMANJARO,MKUU KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI.
 

1 comment:

  1. Casino Table Games - MapyRO
    Table Games · Blackjack · Craps · Roulette · Three Card Poker · Craps. Rating: 5 · 오산 출장샵 ‎1 경상북도 출장안마 vote 거제 출장안마 · ‎Price range: 청주 출장안마 $3 - $835 김포 출장안마

    ReplyDelete