Friday, June 24, 2016

Haya hapa majina ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano na ufundi 2016/2017

WAZIRI WA TAMISEMI, MHESHIMIWA GEORGE SIMBACHAWENE...
 
 
June 24 2016 Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ‘TAMISEMI’ imetangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwa mwaka 2016. Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali na zisizo za Serikali, Kwa urahisi zaidi unaweza kuyaona majina yote kwenye hii link hapa..>>>>>>>>>>>>>>>>>>> http://tamisemi.go.tz/form_five_selection/
 
 
#MACHAS OFFICIAL SITE...

No comments:

Post a Comment