Friday, September 15, 2017

TRENDING IN BONGO:PICHA 14,MFAHAMU MWANAMKE ANAESADIKIWA NDIYE MPENZI MPYA WA MWANAMUZIKI DIAMOND PLATNUMZ>>>

Umesikia habari za ikulu ya Madale kufuka moshi? Sahau kuhusu Hamisa Mobetto na wengine, mshindi wa BBA mwaka 2013 (The Chase) Dillish Mathews ndio habari ya mjini kwa sasa. Mrembo huyo ambaye ni raia wa nchini Namibia anadaiwa kuuingilia utamu wa Zari The Bosslady kwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Diamond. Mfahamu zaidi malkia huyo kwa picha hizi hapa chini.
















No comments:

Post a Comment