Thursday, May 25, 2017

BONGO FLASH:HUYU NI MSANII WA KIUME MAARUFU ANAETAMANIWA KIMAPENZI NA JAQUELINE WOLPER MASSAWE>>>>>

JACQUELINE WOLPER..
Kwenye #KikaangoniEATV Msanii wa filamu maarufu Tanzania Jacqueline Wolper amemtaja msanii wa kiume anayempenda Tanzania ila kumwambia hawezi…
Wolper amemtaja rapa mkali kutoka Arusha Joh Makini, hit maker wa ngoma kama #Waya na #PerfectCombo

No comments:

Post a Comment