Monday, July 11, 2016

Mtoto wa Aliyekuwa Kiongozi wa Al-Qaeda, Osama bin Laden, Hamza Bin Laden Aapa Kulipiza Kisasi

HAMZA BIN LADEN- MTOTO WA MAREHEMU OSAMA BIN LADEN
 
Mtoto wa aliyekuwa kiongozi wa Al-Qaeda, Osama bin Laden, Hamza bin Laden ameapa kulipiza kisasi kwa Marekani kwa kumuua baba yake.

Ameapa kuliendeleza kundi hilo, amesema wako kwenye mpango wa kutekeleza shambulizi lingine linalofanana na lile la Septemba 11, 2001

No comments:

Post a Comment