Tuesday, April 5, 2016

MCHEZA NGONO MAARUFU MAREKANI AFARIKI DUNIA

AMBER RYNE
 
 
ALIYEKUWA nyota wa filamu za ngono, Amber Rayne amefariki dunia nyumbani kwake mjini Los Angeles nchini Marekani maofisa wamethibitisha.
Marafiki na waliokuwa wafanyakazi wenzake walituma ujumbe katika mtandao wa Twitter wakimuenzi mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 31 ambaye alifariki akiwa usingizi wikendi iliopita.



 
Amber Rayne ambaye jina lake rasmi ni Meghan Wren alikuwa nyota wa filamu za ngono kwa muongo mmoja kabla ya kujiuzulu mwaka 2015.
Mkaguzi wa matibabu katika Kaunti ya Los Angeles ameiambia Newsbeat kwamba hakuna sababu rasmi ya kifo chake iliyothibitishwa. Hata hivyo wamesema kuwa familia yake imearifiwa.


BY MACHAS OFFICIAL SITE

No comments:

Post a Comment