Thursday, June 30, 2016

SIASA LEO, Henry Kilewo ' Hakuna Haja ya Onesmo Nangole Kukata Rufaa ya Kuenguliwa Ubunge, Twendeni Longido Tukawakimbize CCM Mpaka Watajuta'

HENRY KILEWO,-MWANASIASA,MWANAHARAKATI, MUME WA JOYCE KIRIA(WANAWAKE LIVE,SHOW)
 
Mungu ampe ujasiri mzee wetu Onesmo Nangole wala asihangaike na Rufaa, twende na hawa magamba tukawaambie namna ambayo Umma unawachukia kwasasa... Tutawapeleka mpaka mtajuta kushiriki uchaguzi.... Mtakuwa wepesi kuliko ile pamba... Yaani nyie maccm tukikutana huko mtaomba uchaguzi uishe ili mkimbie aibu... Ni huzuni kwa mzee wetu kuenguliwa ila itakuwa somo sahihi kuiambie ccm namna ambavyo Hawapo na UMMA tena.... Twendeni Longindo......

By Henry Kilewo
 
#MACHAS OFFICIAL SITE
 

No comments:

Post a Comment